Listening to General Secretary Bankmoon addressing delegates from different countries on the theme of session

Having a lunch with other delegates from different countries day one at UN Geneva-Switzerland(Europe)

The storm ended in 2012. It was the day unspeakable, and the joy unforgettable at Chimwaga Hill Conference: The University of Dodoma-UDOM

With special attention while taking photos at American Embassy in Nairobi Kenya

With the smiling face in Nairobi Kenya at American Embassy :From the left is Dannilo from Mozambique, Anderson from Tanzania, Dr.Katabaro-Tz, and the blogger in the right side Dr.Msoline

Tuesday, 20 September 2016

Ndege ya kwanza ya ATCL yatua nchini

Ndege ya kwanza ya ATCL yatua nchini
Ndege mpya ya kwanza iliyonunuliwa na serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa ajili ya kutumiwa na shirika la ndege la TANZANIA (ATCL), imetua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl JK ikitokea nchini Canada ilikotengenezwa

Ndege hiyo aina ya Bombadier Q 4000 NextGen imetua majira ya saa 6:15 mchana na kisha kupatiwa heshima maalumu ambayo hutolewa kwa ndege yoyote mpya inapotua katika nchi yake (Water Salute)

Baada ya kupokea heshima hiyo, ndege hiyo imeegeshwa katika eneo la ndege za jeshi (Airwing Ukonga)

Ndege ya pili itatua nchini baada ya wiki moja, na baada ya ndege hiyo ya pili kuwasili, yatafanyika mapokezi rasmi yatakayoongozwa na Mh Rais.

Shime kwa watanzania, tuwe tayari kwa usafiri wa anga tena wa uhakika kwa kutumia ndege zetu wenyewe aina ya Bombadier Q4000.

0 comments:

Post a Comment